90.Aliteswa, Aliteswa
Wounded for me 1. Aliteswa, aliteswa, Msalabani Yesu aliteswa, Dhambi zangu ameziondoa, Mahali pangu aliumizwa. 2. Alikufa, alikufa, Msalabani Yesu […]
Wounded for me 1. Aliteswa, aliteswa, Msalabani Yesu aliteswa, Dhambi zangu ameziondoa, Mahali pangu aliumizwa. 2. Alikufa, alikufa, Msalabani Yesu […]
Spirit Divine attend our Prayers 1. Ewe Roho wa Mbinguni Uje kwetu sasa. Ufanye makazi yako Ndani ya Kanisa. 2.
I need Thee every hour 1. Nina haja nawe Kila saa; Hawezi mwingine Kunifaa. Chorus: Yesu, nakuhitaji Vivyo kila saa!
Beulah Land 1. Waitwa, mwovu, na Bwana Umwendee hima sana, Usafiwe dhambi zako, Humwoni ni mwema wako? Chorus: Unaitwa! Itika
The everlasting gospel 1. Bwama wa mabwana, Mwenye nguvu sana, Twakusihi: Neno la milele Na liende mbele, Waongoke tele Kwa
1. Dhambi ikikulemea, Kwa Bwana rehema; Hivi sasa tegemea Neno la salama. Chorus: Tegemea, tegemea, Akwita sasa. Ni Mwokozi, ni
Blessed be the fountain of blood 1. Ndiyo damu ya baraka, ituoshayo wakosa, Kwake Bwana twaokoka, nasi twamsifu sasa; Nimestahili
Stand up, stand up for Jesus 1. Mteteeni Yesu, Mlilo askari; Inueni beramu, Mkae tayari, Kwenda naye vitani; Sisi hatuchoki
What a Friend we have in Jesus 1. Yesu kwetu ni rafiki, Hwambiwa haja pia; Tukiomba kwa Babaye Maombi asikia;
Since Jesus came into my heart 1. Tangu siku hiyo aliponijia, Akae moyoni mwangu, Sina giza tena, ila mwanga pia